Tuna mengi ya kujifunza kutoka kwenye aya hii hasa katika kipindi hiki . . .
Mwenyezi Mungu atujaalie tuwe ni wenye kuitunza na kuitumia vizuri neema ya Amani na Utulivu . . .
Na atujaalie tusiwe ni miongoni mwa wenye kuzikufuru neema zake . . .
Aaamin.
#quran #tanzania #jifunzekusomaquran #swahili #election #tanzaniaelections2020
#quran #tanzania #jifunzekusomaquran #swahili #election #tanzaniaelections2020
|